FT: Al Ahly 1-1 Simba SC (Agg, 3-3)| Africa Football League| Simba yaondolewa kwa Goli la Ugenini

FT: Al Ahly 1-1 Simba SC (Agg, 3-3)| Africa Football League| Simba yaondolewa kwa Goli la Ugenini

Usije mjini kama hujaoga , simba wameoga na mjini hawaendi
Dah! 😁😁😁

dc8b2d86724a4134f8ac104afdbfc827.jpg
 
Mi wala siyo mshabiki wa mpira basi tu huwa napenda hekaheka zenu. Kakangu alikuwa shabiki wa simba wale wa kulia, kutokula na kujifungia ndani hata wiki Simba ikifungwa. Nilijifunza kwake kutokuwa na ushabiki wa vile na nilikuwa namzingua tu kwa kujifanya mi Utopolo...

Kwangu ushabiki huu ni kucheka na kufurahi na kusema kweli sijui lo lote la maana kuhusu mpira. Mi mchezo wangu vitasa!
Mimi ni mshabiki wa Yanga wa mchongo yani sio kivilee.

Kitambo nilikuwa simba..
Niliacha ushabiki kwasababu niko too emotional, nikifungwa sili na ukinizingua unakula mangumi😂😂😂

Nikakata shauri kuacha ushabiki lialia
 
Mimi ni mshabiki wa Yanga wa mchongo yani sio kivilee.

Kitambo nilikuwa simba..
Niliacha ushabiki kwasababu niko too emotional, nikifungwa sili na ukinizingua unakula mangumi😂😂😂

Nikakata shauri kuacha ushabiki lialia
Pole jamani...ushabiki ulopitiliza una gharama zake..
Mi ni keypard worrior tuu ushabiki wa maandishi...yani ukioniona hapa wala sina tyme kabisa..sitaki uniingie kwny moyo
 
Mimi ni mshabiki wa Yanga wa mchongo yani sio kivilee.

Kitambo nilikuwa simba..
Niliacha ushabiki kwasababu niko too emotional, nikifungwa sili na ukinizingua unakula mangumi😂😂😂

Nikakata shauri kuacha ushabiki lialia
Afadhali aisee. Hata mimi ni hivyo hivyo maana huu ushabiki wa kupandisha mpaka presha aisee ni kazi kweli kweli.
 
Simba bwana mmetuzingua.yaani makosa yale yale mnakuja kuyarudia.mnaongoza vizuri alafu mnafanya uzembe
 
Moloko ana kasi sana shida ni maamuzi. Anakimbia na mpira halafu hajui afanye nini!
Zile mechi za CAFCC kuanzia robo hadi nusu fainali hapa home alizingua sana.

Lakini kwa aina ya wachezaji wa Ahly, sio chaguo sahihi kuanza nae, labda atokee sub.
Hutakiwi kufanya makosa golini mwao. Hapa ndipo ninapomkumbuka Mayele!
Hiyo mechi inatakiwa nyumbani tulinde Sana goli,wasipate kabisa au lisizidi moja,maswala ya goli la ugenini yanacost Sana,wenzetu wanapita kihesabu hesabu
 
Mi wala siyo mshabiki wa mpira basi tu huwa napenda hekaheka zenu. Kakangu alikuwa shabiki wa simba wale wa kulia, kutokula na kujifungia ndani hata wiki Simba ikifungwa. Nilijifunza kwake kutokuwa na ushabiki wa vile na nilikuwa namzingua tu kwa kujifanya mi Utopolo...

Kwangu ushabiki huu ni kucheka na kufurahi na kusema kweli sijui lo lote la maana kuhusu mpira. Mi mchezo wangu vitasa!
Mpwa nimecheka
Mm nilikuwa shabiki Lia Lia😂😂😂 pia yaani simba ikifungwa chakula hakipiti kabisa nachelewa kukubali had watu wananishangaa kazini siongei na mtu tukifungwa nikaona mpira utaniua
Nimeachana nao japo tukifungwa karoho kanauma ila siach kula
 
Back
Top Bottom