Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh umetoa wapi hoja yako mkuuAl ahly angetolewa leo basi haya mashindano mwakani yasingefanyika al ahly ndio kipenzi cha Caf.
Kipa ameumia jaman duh
Timu ina wachezaji hewa wengi sana.
Hii comment imenibariki imenichekesha sana kwakweli una point naiona lakini pia nakutia moyo usikate tamaaTimu ina wachezaji hewa wengi sana.
unasemajeHii sheria ya goli la ugenini ingeondolewa
AaahaassNdio Sheria iliyokufanya uendelee kuwepo kwenye mashindano ya klabu bingwa😂😂
Kufarijiana ni muhimu sana. Rais wa Fifa na Caf walikuwepo, Rais wa Znz alikuwepo na Ali kiba alikuwepo.Wanasimba mna huzunika kutokea wapiii
Simba ni timu ya kwanza sio Tanzania ni ukanda wa Africa Mashariki na kati kuwa ya kwanza kushiriki mashindano haya
Timu haijafungwa na mbabe wa vita mafarao ya Misri away na kwao...
Unahuzunika kutokea wapiiii....
Timu yetu imekuwa ya kwanza Tanzania kushuhudiwa na Top leaders wa mpira akiwemo rais wa FIFA....
Hapa ni mwanzo tuu najiona tunaenda mbalii
Tuchukulie hiyo sheria haipo. Kwa nini bingwa awe Yanga na sio USM Alger?unasemaje
unajua bila hii sheria yanga angekuwa bingwa wa shirikisho
Kwan Kuna ubaya Yanga akiwa bingwa?unasemaje
unajua bila hii sheria yanga angekuwa bingwa wa shirikisho
[emoji846][emoji846][emoji846] Umepotea humu auntiee mtamu [emoji3526][emoji9][emoji6]It's a Holiday watu wana celebrate...
Life is Everyday...
My friend usicomplicate...
Dunia ni kidonati ....
kumbe sare, nikajua mmeshinda 😄😄😄Mfufua Nyuzi
Vipi hapa
Tumeshinda mara tatu na draw mbili hapo vipi??kumbe sare, nikajua mmeshinda 😄😄😄
Wajipange kwa marudiano sasa!