FT: Al-Hilal 1-0 Yanga (Agg 2-1), Yanga yaondolewa Ligi ya Mabingwa Afrika

FT: Al-Hilal 1-0 Yanga (Agg 2-1), Yanga yaondolewa Ligi ya Mabingwa Afrika

Tupo hapa tumeshakula tunashushia alkasusu mujaraaabu kabisa maana ukishangilia al hilal lazima uwe km mwarabu .....Utopolo msiwe na wasi wasi wanawafunga viwili tu[emoji41]
 
Kosi letu Al hilal.
[emoji116]
IMG-20221016-WA0057.jpg
 
Yanga huwezi kuwaona humu kwasasa ila wakitangulia kufunga basi hakutakalika humu.

Tunahitaji update kutoka kwenu mnaoufatilia huu mchezo.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom