FT: Al-Hilal 1-0 Yanga (Agg 2-1), Yanga yaondolewa Ligi ya Mabingwa Afrika

Tusipowashukuru makolo tutakuwa hatuwatendei haki 😂😂😂😂😂😂 kuacha usingizi wao, siyo kazi rahisi. Wana presha kuliko sisi. Na uzi umekuwa wao 🤦‍♀️ Sisi tunalala, tunawaachia hadi timu 🤣🤣🤣🤣 tukutane next weekend Mungu akipenda...
 
Mbinu ya kuanguka angukaMara kwa Mara na Ni nzuri San inafah kwa mech za kiafrica sna dkk kumi zilipotwezwa kwa kuanguka anguka tu laiti wangaacha mchezo wao huu wa kuanguka ovyo wangejuta kutufaahamu
hamna kitu[emoji23][emoji23]
 
We jamaa Msudani
Kaka wa bibi yangu mdogo alikuwa na mapacha ambao hao mapacha walizaa watoto ambapo mjomba aliyezaa na shangazi wa bibi wali share tumbo moja na mdogo wa babu sasa hapo ndio asili yangu ya usudani ilipo

Umeona undugu wetu ulipoanzia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…