Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Slogan nyingine ni laanaAshura cheupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slogan nyingine ni laanaAshura cheupe
24 years ago. Ni AIBUSimba kwa Yanga ni sawa na pombe ya ngomani unajichotea tu.
Jumapili ijayo muda kama huu utakuwa unasonya tu.
hamna kitu[emoji23][emoji23]Mbinu ya kuanguka angukaMara kwa Mara na Ni nzuri San inafah kwa mech za kiafrica sna dkk kumi zilipotwezwa kwa kuanguka anguka tu laiti wangaacha mchezo wao huu wa kuanguka ovyo wangejuta kutufaahamu
Kuifunga Simba.Hivi Malengo ya Yanga n Usajili wote ule ni nini...??
Hivi malengo ya mayele ni kuwafunga Simba pekee??
Hatari sana mkuu mbwembwe nyiiingi wao walijua Simba inashindaga kimazabe mazabe kimataifa.Dah watu wanajiligia hela tuu. Unakuwa na wachezaji wakigeni kibao baadala ya kuwa nao watano wa ukweli.
Na Zalan😀😀Hivi malengo ya mayele ni kuwafunga Simba pekee??
Hii Al hilal Hamna kitu sema imekutana na utopolo
Nami nakudaiNidai mwekunduuView attachment 2389545
Alafu jamaa alivosajiliwa mipaisho ilikuwa mingi ila amezima shwaaaah! Kama maji ya mtunginiHivi yule Bigirimana wa EPL kwani ni majerui...?
dah tatizo kama hujazoea kuingia 5star hotel lazima upotee watu wapo vyumbani ww umelala chooni uto kama vinyesi[emoji23][emoji23][emoji23]Hatari sana mkuu mbwembwe nyiiingi wao walijua Simba inashindaga kimazabe mazabe kimataifa.
Kaka wa bibi yangu mdogo alikuwa na mapacha ambao hao mapacha walizaa watoto ambapo mjomba aliyezaa na shangazi wa bibi wali share tumbo moja na mdogo wa babu sasa hapo ndio asili yangu ya usudani ilipoWe jamaa Msudani
Asante Yanga...