FT: Al-Hilal 1-0 Yanga (Agg 2-1), Yanga yaondolewa Ligi ya Mabingwa Afrika

FT: Al-Hilal 1-0 Yanga (Agg 2-1), Yanga yaondolewa Ligi ya Mabingwa Afrika

millionhiphop-20220823-0001.jpg
 
Ningekuwa Nabi nisingerudi na Mayele kipindi Cha pili ningefanya maamuzi magumu ya kumpanga Makambo.
 
Wachawi ni nyie wenyewe kwa midomo yenu ..kuwavimbisha wachezaji vichwa kwamba wao ni bora kuliko wapinzani,kwamba mayele ni halland kwamba alhalali ni timu ndogo. Poleni sana ila bado mpira unadunda,mkichomoka humu muwe na adabu.
Mayele atatetema next wikend, wanasimba watabana pumbuz wikend ijao jamaa akishika mpira
 
Back
Top Bottom