Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko pamoja nanyi Wananchi mpaka wawauwe[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko pamoja nanyi Wananchi mpaka wawauwe[emoji28]
Tutaona kwani mbali basiWapiiii wewee wait and seee
Dkk bado nyingi mkuu lolote laweza tokeaNilijiwekea imani aisee.. najuta
vp lakini ume enjoy mpira, sio ile papatu papatu ya timu yenuMtaongea yote leo, Al Hilal anawachinjia nyuma ya shingo huko Sudan[emoji23].
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo mpiraMmechakazwa hamuamini ni nn kinatokeaView attachment 2389472
Achana na Daby,huko hata sisi tashawakung'uta nne,tano,sita.minazungumzia kimataifa ndo hii timu yenye mchezaji wa Newcastle ya England?Ndio hicho kikosi kilichowatandika mbili mkapoteana.
pira bado haijaishaa punguza mumkaliYanga kmmk zenu Wseng mnaniuaa na presha huku [emoji174][emoji24]
Dkk bado nyingi mkuu lolote laweza toNilijiwekea imani aisee.. najuta
Yani ukishawek point 3 kibindoni huo upatupatu unabakia kwa haters tuu waumie roho zaovp lakini ume enjoy mpira, sio ile papatu papatu ya timu yenu
Nipo nafuatilia kupitia humu jukwaani. Maana hamchelewi kusema nimekimbia.
AISEE TUNACHEZEWA QMMK DAH