Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanyaje tenaMorrison kakorofishana na wenzie.😂😂
Pole utopwinyost poleeeeeHata tusiposonga mbele, hao makolo huwa wanachukua kombe? Wote wa hapahapa tu. Toka wameanza, kama wacheza rede tu, hawachukui uzoefu na makosa yao ya miaka yote. Watarudi tu, nimekaa palee 👉
Duuu tumeuliza kama kichwa kimojaKafanyaje tena
Poleeeh lakini hamuwezi kujilinganisha nasiHata tusiposonga mbele, hao makolo huwa wanachukua kombe? Wote wa hapahapa tu. Toka wameanza, kama wacheza rede tu, hawachukui uzoefu na makosa yao ya miaka yote. Watarudi tu, nimekaa palee 👉
Pole yaa? Hatuumwi tuko uwanjani tunapambana...Pole utopwinyost poleeeee
Pambaneni na hali zenuPole yaa? Hatuumwi tuko uwanjani tunapambana...p
Alinyimwa kupiga foul akasusa huku akirusha mikono.Kafanyaje tena
Hapana
Nw yanga anaenda sana golini kwao
Tuliomba zenu?Pambaneni na hali zenu
Cheki kima mmoja huyuWalidanganywa eti...
THE RETURN OF THE CHAMPION
OPERATION KHARTOOM...
Pambavu kabisa, alidhani mpira ni kupiga domo.
Kuwa mpole huu mchezo hautaji hasiraTuliomba zenu?
Pole mkuu ndio ukubwa huoYanga kmmk zenu Wseng mnaniuaa na presha huku [emoji174][emoji24]
yuko kolo pia al ahil ko anakili yanga anaupiga mwingiUnaangalia mpira?
Acha basi mtani Mnashindana Ili iweje? Si mngeigomea CAF.Hata tusiposonga mbele, hao makolo huwa wanachukua kombe? Wote wa hapahapa tu. Toka wameanza, kama wacheza rede tu, hawachukui uzoefu na makosa yao ya miaka yote. Watarudi tu, nimekaa palee 👉