Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Naona kama hii Yanga iko serious sana
Nguvu nying ndo zinaifanya yanga salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kama hii Yanga iko serious sana
Thank you itamuhusuMzize ajitathimini
Kabisa asipokaza hataamini Yanga hakuna kumvumilia mtuThank you itamuhusu
Tulia usiuze ramani ya vitaHawa Merrikh kamakuna kosa wamefanya ni kutofunga goli kipindi cha kwanza..... Hiko kipindi cha pili balaa watakalokutana nalo watasimulia na shangazi zao
Mbona sijawai kukuonaMy favorite, namkubali sanaaaa. Amenifanya nimeenda uwanjani mechi zote za Yanga tokea tumsajili.
Vipi power dynamo uko? Kunaendeleaje?Al Merrikh Piga Hao DRC congo Juniors(Yanga).
😂😂 Mfumo wa Nabi (kipindi Cha pili) unaendelea??Hawa Merrikh kamakuna kosa wamefanya ni kutofunga goli kipindi cha kwanza..... Hiko kipindi cha pili balaa watakalokutana nalo watasimulia na shangazi zao
kuna watu wakitoboa mwakani ntaamini ngekewa zipo, MZIZE,MUSONDA KIBWANA SHOMARIKabisa asipokaza hataamini Yanga hakuna kumvumilia mtu
Huyu dogo anazingua sana. Goli mbili za wazi ameshakosa tayariAisee! Huyu mzize. [emoji17]
Haka katoto kanakera sana aisee.Daah kumamae uyu mzize nyoko eh?
Daah! Anazingua mnoHuyu dogo anazingua sana. Goli mbili za wazi ameshakosa tayari
kila mtu kashika kichwa huku rwanda nakuambiaAisee! Huyu mzize. 😔