FT | Al Merrikh 0-2 Young Africans | CAFCL Group Stage Qualifier | Pele Stadium, Kigali | 16.09.2023

FT | Al Merrikh 0-2 Young Africans | CAFCL Group Stage Qualifier | Pele Stadium, Kigali | 16.09.2023

Al Merrikh ya Sudan wakitumia Uwanja wa Pele Kigali watawaalika Young Africans ya Tanzania katika mchezo wa mkondo wa kwanza kufuzu hatua ya makundi ya Klabu Bingwa Africa.

Ni mchezo wa aina yake kwani Young Africans imefanikiwa kusafiri kwa kishindo cha mashabiki wengi mpaka jijini Kigali hivyo kuleta chache ya kuondoka na ushindi.

Tuwatakie heri na fanaka nyingi kwa Young Africans ambao ni wawakilishi wa Tanzania katika michuano hiyo.

Mechi itakuwa live saa 10:00 jioni na itakujia kupitia Azam Sports 1HD
Pamoja mkuu
 
yanga leo wanaenda wakijua kabisa wanaenda kushindana na timu mbovu kwao, na wanajua wanaenda kushinda. sema wawe makini tu wasije wakashtukizwa. ila hata el merrikh wanajua yanga ipo vizuri na leo si rahisi kwao kutoka bila kuchapwa. na kama walishawahi kutusumbua yanga before, basi yanga piga kabisa ua kabisa hao ndezi.
Duh
 
Nenda kafate Ada yako!
wengi hamuelewi hili. kuanzia saa sita na madakika ambayo huwa tunaiita mchana (which is a general word), ni muda wa adhuhuri. adhuhuri inaisha saa tisa kamili.

kuanzia saa tisa kamili hadi saa kumi na moja, inaitwa alasiri.

kuanzia saa kumi na moja hadi saa moja, inaitwa "jioni", na hiyo inamaanisha hilo ni "jio la usiku".

nendeni mkawafundishe na wenzenu. kwa bahati mbaya hata maprofesa wa kiswahili pale udsm watashindwa hili swali.
 
wengi hamuelewi hili. kuanzia saa sita na madakika ambayo huwa tunaiita mchana (which is a general word), ni muda wa adhuhuri. adhuhuri inaisha saa tisa kamili.

kuanzia saa tisa kamili hadi saa kumi na moja, inaitwa alasiri.

kuanzia saa kumi na moja hadi saa moja, inaitwa "jioni", na hiyo inamaanisha hilo ni "jio la usiku".

nendeni mkawafundishe na wenzenu. kwa bahati mbaya hata maprofesa wa kiswahili pale udsm watashindwa hili swali.
Asante Kwa shule hii ya bure mkuu
 
ukitaka kujua ukubwa wa Yanga, ni leo, kuna timu pale kigali na nyingine ndola. ila macho yooote ya watanzania yapo Kigali. sijui wengine mmelitambua hilo?
Wale wa Ndola wameshapita huko zamani sana,hawewezi kufananishwa na nyie underground kimataifa mnaopigania kufika huku mlipo miaka 25 iliyopiga
 
yanga leo wanaenda wakijua kabisa wanaenda kushindana na timu mbovu kwao, na wanajua wanaenda kushinda. sema wawe makini tu wasije wakashtukizwa. ila hata el merrikh wanajua yanga ipo vizuri na leo si rahisi kwao kutoka bila kuchapwa. na kama walishawahi kutusumbua yanga before, basi yanga piga kabisa ua kabisa hao ndezi.
El Mereikh wametusumbua miaka ya nyuma aisee, nafikiri ni muda sasa wa sisi kurejesha furaha yetu.
 
Kila la kheri Yanga, kila la kheri Tanzania...


Nikirudi miaka ya nyuma, Al Merrikh wamekuwa wakiisumbua sana Yanga...

Sasa ni kizazi kipya, muda wa kulipa kisasi...
Yanga hii iñavunja records zote, kiboko ya Al Ahaly ni Usmer Alger, tulipata matokeo kwao.

Kwa sasa watu wa kumalikumalizana nao ni Waarabu wa Misri tu mechi za Cairo ndio tuna kiporo nao na safari hii kwenye makundi nataka watupange na Al Ahaly ili tuwafundishe adabu na mapinduzi ya soka na waelewe wazi wanatuzidi pesa tu na siyo mpira.
 
Huyu jamaa anazingua, macho mawili utaangaliaje TV mbili kwa wakati mmoja? Au labda ana makengeza kama DJ, jicho moja ataweka tv ya Kigali na jicho la pili ataweka tv ya Ndola?

Mi nashauri tumlazimishe kwa nguvu achague kuangalia mechi moja tu maana tuna uhakika ana macho mawili na lazima aangalie mechi ya Yanga ya Mzee wa kuchomekea Max Nzegeli aka Iniesta! Pele Stadium kutakuwa na mademu wakali! Patapendeza!

Simba ni ndondo club for now, haina fomesheni wala possession, papatu papatu fc haina mvuto na haijui boli na jukwaani pale Ndola hakutavutia, mademu hawaeleweki.

Si mpira wa kuangalia maana Simba itakandwa 3-0 na goli zote zitapatikana dkk 20 za kwanza!

Kwa mara nyingine Simba itakufa kiume Leo!!!
Una macho mawili au manne?
 
Back
Top Bottom