The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
All the best the Citizens
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam kisasi ni Haki.Kila la kheri Yanga, kila la kheri Tanzania...
Nikirudi miaka ya nyuma, Al Merrikh wamekuwa wakiisumbua sana Yanga...
Sasa ni kizazi kipya, muda wa kulipa kisasi...
Haha 😂😂😂Nenda kafate Ada yako!
Timu yenyewe mnayocheza nayo haina hata kwao!! Inalazimisha ugenini kuwa ndo nyumbani!! Ni kama wale wale tu mliocheza nao raundi ya mchangani, hapo utajisifu umefunga timu kweli? Tusisikie mtu anapiga kelele ya kujisifu kufunga timu isiyokuwa na kwao!!Al Merrikh ya Sudan wakitumia Uwanja wa Pele Kigali watawaalika Young Africans ya Tanzania katika mchezo wa mkondo wa kwanza kufuzu hatua ya makundi ya Klabu Bingwa Africa.
Ni mchezo wa aina yake kwani Young Africans imefanikiwa kusafiri kwa kishindo cha mashabiki wengi mpaka jijini Kigali hivyo kuleta chache ya kuondoka na ushindi.
Tuwatakie heri na fanaka nyingi kwa Young Africans ambao ni wawakilishi wa Tanzania katika michuano hiyo.
Mechi itakuwa live saa 10:00 jioni na itakujia kupitia Azam Sports 1HD
KagongweOmdurman ninyoshee huyu kuzi
Acha wivuTimu yenyewe mnayocheza nayo haina hata kwao!! Ugenini inakuita nyumbani, ni kama wale tu mliocheza nao raundi ya mchangani!! Msije mkajisifu kuwa mmefunga timu!!
Kabisa hii imeendaTumelitambua hilo Mkuu.
Timu ikiwa na kwake huwa wanapats favour ya kuchezesha wachezaji zaidi ya 11 uwanjani?Timu yenyewe mnayocheza nayo haina hata kwao!! Inalazimisha ugenini kuwa ndo nyumbani!! Ni kama wale wale tu mliocheza nao raundi ya mchangani, hapo utajisifu umefunga timu kweli? Tusisikie mtu anapiga kelele ya kujisifu kufunga timu isiyokuwa na kwao!!
Ila ukifungwa makelele ya kukushangaa lazima yawepo!! Utafungwaje na timu isiyokuwa na kwao?
Nakuona mkuu. Habari za siku.Tumelitambua hilo Mkuu.
AaaaminnnnnApigwe nduli elmereikh
ApigweeApigwe nduli elmereikh
Za siku salama kabisa. Sijui kwako?Nakuona mkuu. Habari za siku.
Ngoja Leo tuwafunge magoli El merrikh na kuwafunga midomo 5imba
Kabisaa.Za siku salama kabisa. Sijui kwako?
Hakuna cha kutuzuia na leo ndio watastaajabu.
BulayaaaaMimi kama Mwananchi kindakindaki, niuvae uzi wangu mpya wa msimu huu sasa nijiandae kuangalia burudani.
Yanga ni mimi, mimi ni Yanga.
Ushindi ni lazima.