David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Hii mechi ZBC2 hawaoneshi? Maana kifuatacho wamebold mashujaa na ihefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Konkoni vipi huko Utopoloni? Anaendelea kukalishwa benchi na Walid..Kikosi cha Young Africans[emoji91][emoji91]View attachment 2751120
Ungeuliza kwanza kwann miquissone yupo benchi na kibu D kaanza ningekuona una akiliKonkoni vipi huko Utopoloni? Anaendelea kukalishwa benchi na Walid..
NilishaulizaUngeuliza kwanza kwann miquissone yupo benchi na kibu D kaanza ningekuona una akili
Huwa kuna saa Mzize anakera sana.
Hebu leo ajitahidi tusilalamike.
Nenda Azam Sport 1.Hii mechi ZBC2 hawaoneshi? Maana kifuatacho wamebold mashujaa na ihefu.
Pacome zouzou[emoji119][emoji119]
Sahivi Yanga haiwategemei center forward moja Kwa mojaMimi kwangu bado hatoshi, sio yeye wala Musonda.