Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Kolo hapa limevunja chupa ya bia, haya makenge sijui Yana akili gani?Nimekaa na kolo Banda umiza linasonya Tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
😁😁😁BAdo moja ziwe3, hapo mi siwadai
Mwambie akomae kwani ndo upande aliouchagua. 🤣🤣Nimekaa na kolo Banda umiza linasonya Tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Ni Mbrazilinafaso [emoji2]Ebu watuambie ukwel uyu Azizi Ki n m bukinafaso kwel au n m Brazil
Ebu watuambie ukwel uyu Azizi Ki n m bukinafaso kwel au n m Brazil
samaki samaki mkuu.. Wananchi wahamishiwe UEFANational Anthem unaangalizia wp?
Anagomba tu hapa nasikia haiwezekani Lazima kibanda kibomolewe [emoji16]Mwambie akomae kwani ndo upande aliouchagua. [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani nikifa mtoe rambirambi kuna kolo hapa kashika mawe na fyekeo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana vitu anavyo vifanya mimi kama Shabiki wa simba sijapendaNi Mbrazilinafaso [emoji2]
Mambo mremboNi mdogo wangu, niulize mimi dada yake.
😂😂😂Anagomba tu hapa nasikia haiwezekani Lazima kibanda kibomolewe [emoji16]
Kunywaaa biaBAdo moja ziwe3, hapo mi siwadai