FT: AS Real Bamako 1-1 Young Africans | CAF Confederation Cup | Stade Modibo Keita | 26.02.2023

Wanangu wa real Bamako hao wanyonyeni vinyeo hao kenge mana wanaupenda sana huo mchezo.

FT: BAMAKO 2 VS 0 VINYEO FC

MUNGU IBARIKI AFRIKA NA KILA LA KHERI REAL BAMAKO.
We kinyume nyume fc, acha wenge, wanaume wafanye yao.
Hao shoga zako watagongwa na kitu kizito watulie.
 
Timu yoyote yenye jina linaloanzia na Real haiwezi kuwa utopolo. Lazima heshma ya baba zao ilindwe.
 
Hapo ndipo unapokosea ,wote washinde ndo itakuwa poa
Washinde waende wapi ?
Mimi nahitaji wote tubaki ligi kuu yetu habari za mechi za kimataifa ni za waarabu tu .

Simuoni Simba chama langu akivuka hapa maana Horoya mh [emoji848]
 
safi japo umeme hakuna tunaomba muda huo uwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…