Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani umeona ushangilie draw? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kweli maji ya shingo.Siku imegeuka ghafla na kuwa nzuri
Kufurahia mimba unaweza kuzaa zezeta.Haya angalia sasa.Kidude kimekwamia katikati.Tushakuharibia siku mpaka hapo, kunywa novida ulale 😁
Hawa mliocheza nao ni vibonde yani mlikuwa mmeikamata hii mechi idara yotemkuu wewe utaongea nini kwa mpira huu zaidi ya kusema yanga tumestahiki point 3 ila uzembe
jamaa tumewakamata sio jana mtu kapata goli karudi nyuma, sisi tunakupiga na bado tunakukimbiza
Kwani mmeshinda? Haaa haaaTushakuharibia siku mpaka hapo, kunywa novida ulale 😁
Kwahyo ulikojolewa kule Guinea?Goli la kichwa ni dharau. Ni kama kichwa cha kukojolea
kweli mkuuHawa mliocheza nao ni vibonde yani mlikuwa mmeikamata hii mechi idara yote
Hawa na Mazembe hawana tofauti
Nafurahi Yanga wakiwa wamenuna, wanakuwa wabariiiidi.Hufaaaaaaiii
Vipers gani?kweli mkuu
ila vipers ni vibonde zaidi
Akili zimekurudia.Point moja ugenini sio mbaya
Kivipi Mkuu?Akili zimekurudia.
Mimi nimesema congrats wananchi, wewe umeona kelele wapi?Yap point moja ugenini ni matokeo mazuri
Ila sio ya kukufanya upige kelele
Shida ipo hapo kwenye paragraph ya pili
Kwani hapa tunazungumzia mechi ganiKwahyo ulikojolewa kule Guinea?
unamuita vipers kibonde wakati ulikojolewa viwili ukiwa kwenye siku zako na huyohuyo vipers.kweli mkuu
ila vipers ni vibonde zaidi
Mpira una mahesabu ya kushangaza...
Hiki ya Draw ya dk za mwisho kabisa huenda ikawa ndio makosa makubwa kabisa kwa yanga..
Kumbe ume-whisperMimi nimesema congrats wananchi, wewe umeona kelele wapi?
Kama ile ya msimbaziMakocha tunao ila hii game nakubaliana na wewe kwamba ilikua ya kuchukua point zoote
Nikutajie ni mara ngapi TP Mazembe wamekukojelea?unamuita vipers kibonde wakati ulikojolewa viwili ukiwa kwenye siku zako na huyohuyo vipers.