FT: Asante Kotoko 2 - 4 Simba Sports Club

Kipindi cha pili kinaanza, mabadiliko kadhaa kwa Asante Kotoko ya wachezaji yamefanyiko

Na Simba, Banda ameingia
 
Simba wanafanya mzaha sana, na hii kwakua ni mechi ambayo haina pressure na kiburi cha kuongoza
 
Hawana tofauti na Uto
Hawa asante na ihefu wanatofauti gani....?
Mkuu mechi ya kirafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…