Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aingie nani kwenye nafasi yake?Saidoo ni mzigo kwa team, 2nd time asirudi tena uwanjani. Anaboa huyu mzee had baas.
Wachezaji wawili wanahitajika ndani haraka, Kibu na Miqueson. Wa kutoa mmojawapo ni Saidoo sjui mwingine nani.Midfield ya SIMBA haifanyi transition ya haraka , lakini pia hakuna wings zinazokimbikia na kutanua uwanja...SARR, CHAMA, KONOUTE, NGOMA, SAIDOO ni kama wote ni viungo by nature...anabaki JOBE pekee kama standing striker
Nenda kalale, kwanini uanglie mpira uliopooza 😁Mpira umepoooza sana
Zimeshaanza kuharibu akili ya kichwaBleach FC
KibuAingie nani kwenye nafasi yake?
Aingie hata miquison, sasa yeye mwenye nafas yake anafanya nn hapo? C uchuro tyuuh.Aingie nani kwenye nafasi yake?
Weka pili pili uchangamkeMpira umepoooza sana
Huyu ni mzigo tu nae bora miquesonKibu