FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

Putin nae jamaniiii, kwann anakosaa vilee aaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakosa huku, fastaaa mpira uko langoni kwetu.
 
Mnaoangalia mechi ya Makolo ni majasiri kwerikweri maana Mimi huwa nimeangalia sana ni highlights YouTube pira lao silielewei kabisa mara ya mwisho kuwacheki walipopigwa 5 - 1 na Yanga kwa vile tu ilicheza na Yanga ambao sika lake unaenjoy ukicheki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…