Indeed [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kibu ni Nchimbi aliesuka rasta.
Umeme unamtafutaKwa dakika mbili alizokuwa uwanjani, tayari Tadeo Lwanga ana kadi ya njano
Asipoaangalia anakula umemeKwa dakika mbili alizokuwa uwanjani, tayari Tadeo Lwanga ana kadi ya njano
Akili zako za hovyo sana kama huamini Gendarmarie anaweza kufungwa kwa Mkapa.Kwa akili yako Gendarmerie utamfunga hapa?
Oya tutake radhi ndo utani gani huu 😂😂😂😭Taifa linapata aibu kubwa huko Benin..
Mnyama anachezewa makalio.
Usajili unaweza fanyika kinachotakiwa usajili waachiwe benchi la ufundi na kocha wasivurugwe na kupangiwa waachwe wafanye kazi yao sio kila mtu analeta mchezaji wakeTutolewe tu, tupate kocha mwngne afanye usafi na usajili tuanze fresh msimu ujao kwa kwel
Acha hizo Scars[emoji1787][emoji1787]Hiki kidemu cha ZBC ndio kimeleta gundu
Mohamed Hussein kafanya kosa kubwa sana la kiulinzi amekiuka misingi ya ukabaji hasa beki wa pembeni kumuachia mpinzani kukupita kiboya na kumruhusu apige cross
Hii mechi hatufungwi
Note my words