Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asec wanapata goli la tatuGooooooaaaaaaal
Rekebisha ni vitatuKuna watu wamekalia viwili huko na hamniambii
Sijapenda [emoji3][emoji3]
Nadhani pia huyu kochaa anakosa phylosophy ya game za kiafrica
Unamuachaje Banda , Morison na Bocco nje
Kocha Out
Mmeshakalia cha tatu sawa tuwape kingine?Akili zako za hovyo sana kama huamini Gendarmarie anaweza kufungwa kwa Mkapa.
Hatuna uwezo wowote mkuuNadhani pia huyu kochaa anakosa phylosophy ya game za kiafrica
Unamuachaje Banda , Morison na Bocco nje
Kocha Out
Mohamed Hussein kafanya kosa kubwa sana la kiulinzi amekiuka misingi ya ukabaji hasa beki wa pembeni kumuachia mpinzani kukupita kiboya na kumruhusu apige cross
Nadhani pia huyu kochaa anakosa phylosophy ya game za kiafrica
Unamuachaje Banda , Morison na Bocco nje
Kocha Out
Ale tu hali ishakua teteAsipoaangalia anakula umeme