Kamuulize Kaduguda atakwambia kama kombe la shirikisho ni la mademu au wamama, ye ndo anajua!!Sijaelewa vizuri, CAF wameanzisha lini mashindano ya wamama? Mama nani na mama nani wamefuzu,kweli nipo nyuma ya mda.
Wangese kweliFULL TIME HAPA AMAAN STADIUM
AZAM 0
SIMBA 2
Simba wanaondoka na point 3 muhimu na kukaa juu ya Azam kwa Point 9 (michezo 3) dhidi ya 8 za Azam (michezo 5)
NB:
Kuna timu malengo yake ni kuikamia Yanga kwenye Ligi Kuu tu, wengine Aaah!!
Kwa kweli maana sio kwa ushuzi ule wa performance...kweli foreign player anacheza hivyo😲 thats just a waste of money kwa kweli.Labda alishawahi alikwa kwa P.Didy
Simjui tuambie wewe uliyewasiliana nayeKamuulize Kaduguda atakwambia kama kombe la shirikisho ni la mademu au wamama, ye ndo anajua!!
Thibitsha hilo mwez wa 10Huyu awesu awesu .....ni fundi acheni utani......🔥🔥🔥🙌😃
Mkeka umetikiKila la kheri Simba SC.
FT: Azam 0 vs 2 Simba SC.
HongeraUtabiri wangu Simba anashinda 2-0
Sanaaa. Barua nae akiacha mawenge pia ni mchezaji mzuri mnooHuyu awesu awesu .....ni fundi acheni utani......[emoji91][emoji91][emoji91][emoji119][emoji2]
Alianza haji manara akiwa msemaji wa utopolo kusema simba inacheza kombe la maluza kaduguda alikazia tuKamuulize Kaduguda atakwambia kama kombe la shirikisho ni la mademu au wamama, ye ndo anajua!!
Kama shirikisho ni Kombe la wamama msimu uliopita si kuna wamama waliwakilisha wenzao pale jangwaniKamuulize Kaduguda atakwambia kama kombe la shirikisho ni la mademu au wamama, ye ndo anajua!!
Magoli yote ni offside🚮 refa kaharibu mchezo