Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
HALF TIME
AZAM 0
SIMBA 1
AZAM 0
SIMBA 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaumia sanaSifa za Kijinga kwa Kipa wenu
Ichomwe moto kivipi wakati keshatenguliwa mguu tayariTunatoa angalizo kwa uongozi wa Simba uhakikishe jezi ya Ateba akimaliza mechi ichomwe moto na asiruhusiwe kubadilishana jezi na mchezaji yeyote.
Viatu vya Ateba na vifaa vyake vya mazoezi vipewe ulizi muda wote ili visifanyiwe vitendo vya kishirikina na maadui zetu
😁😁 Mama la mamaMbona Mukwala hachezi?
Kwa hiyo?Goli ni OFFSIDE kabisaaaaaa!
Wako wengine wengi tu ambao hawachezi na wako vizuri.Mbona Mukwala hachezi?
Mpaka sasa ni bila bila goli la OFFSIDEWe Utopolo Ukiona Maumivu Yamezidi Meza Panadol Ulale, Matokeo utayapata tu baada ya Dk 90....!
Anacheza MazoeziniMbona Mukwala hachezi?
Mabululu wa nini? Mpanzu ngoja aanze kucheza utaona.Imagine SIMBA pale mbele kuwe na ATEBA + MABULULU...?