Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ni huko kwenu tu nanjilinji ndio wamekatakmmk wamekata nchi nzima nn?
Heee si ufute hiyo “se”.kmmk wamekata nchi nzima nn?
Nasikia uwanjani wako wachezaji na viongozi tu, watu wamesusaLolote liwakute
Sijui kwa nini hua nahisi wivu my wetu akiwekwa na timu zingineLolote baya liwakute my wetu.
Pia na baadhi ya viongozi nasikia wameondoka baada ya kuona msako wa AzamNasikia uwanjani wako wachezaji na viongozi tu, watu wamesusa
ChaiGoaaaaaaaaal Azam wanatangulia hapa.
Leo Makolo watakula nyingi
Habari njema sana hii😁Nasikia uwanjani wako wachezaji na viongozi tu, watu wamesusa