FT | Azam FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 09.05.2024

FT | Azam FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 09.05.2024

Kama ni suluhu maanake Yanga atakuwa na 71
Simba akishinda mechi zake zilizobakia atakuwa na point 69
Azam akishinda mechi zake zote atakuwa na point 70. Je hapo bingwa ni nani?
Nimefanya mabadiliko zaidi.
 
Pia anapaswa inapaswa kufahamika kuwa ushindi wa mechi mbili ni endapo leo Azam atashinda. Ila kama Azam atafungwa au kutoka sare, basi Yanga atahitaji ushindi wa point 3 tu kuwa bingwa wa ligi kuu.
Piga hesabu vizuri hata kama azam akifungwa na Simba Yanga atahitaji point 5 hili awe bingwa.

Point tano ni sawa na michezo miwili.

Hapo yanga atakuwa amefikisha point 74 ambazo haziwezi kufikiwa na yoyote.

Simba akishinda mechi zake zote zilizobaki atafikisha point 72.

Vile vile azam akishinda mechi zake zote zilizobaki atafikisha point 72.
 
Nawatakia Azam furaha usiku wa leo
Wawanyooshe watakaocheza nao leo iwe Kagera, Ihefu yeyote yule
Azam mbele kwa mbele..!🤸
 
Mtibwa 1 - 1 Yanga.
Dodoma Jiji 1 - 0 Yanga
Yanga 1 - 1 Tabora United
Yanga 0 - 1 Tanzania Prison. =70 points

Azam 1-2 Simba.

All other 4 games Azam win.= 69 Points.

All other 5 games Simba Win. = 71 Points. (Bingwaaaa)

In football Impossible is possible.
Ila jamaa bana Kuna muda sijui unawaza nini
 
Nawatakia Azam furaha usiku wa leo
Wawanyooshe watakaocheza nao leo iwe Kagera, Ihefu yeyote yule
Azam mbele kwa mbele..!🤸
FT
Azam 1-2 Simba SC
 
Mshike mshike ndege tunduni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo jahazi la Makolo linakwenda kuzama rasmi
 
Piga hesabu vizuri hata kama azam akifungwa na Simba Yanga atahitaji point 5 hili awe bingwa.

Point tano ni sawa na michezo miwili.

Hapo yanga atakuwa amefikisha point 74 ambazo haziwezi kufikiwa na yoyote.

Simba akishinda mechi zake zote zilizobaki atafikisha point 72.

Vile vile azam akishinda mechi zake zote zilizobaki atafikisha point 72.
Nilikosea ila pia nawe umekosea. Kama Simba akishinda leo, Yanga atahitaji point 4 tu sawa na ushindi mmoja sare moja. Simba hana uwezo wa kufikisha point 72 hata akishinda leo. Ataishia point 71 .
 
Mtibwa 1 - 1 Yanga.
Dodoma Jiji 1 - 0 Yanga
Yanga 1 - 1 Tabora United
Yanga 0 - 1 Tanzania Prison. =70 points

Azam 1-2 Simba.

All other 4 games Azam win.= 69 Points.

All other 5 games Simba Win. = 71 Points. (Bingwaaaa)

In football Impossible is possible.
Unapiga nyeto?, maana hizi ni hesabu za wapiga nyeto 🤣.
 
Mtibwa 1 - 1 Yanga.
Dodoma Jiji 1 - 0 Yanga
Yanga 1 - 1 Tabora United
Yanga 0 - 1 Tanzania Prison. =70 points

Azam 1-2 Simba.

All other 4 games Azam win.= 69 Points.

All other 5 games Simba Win. = 71 Points. (Bingwaaaa)

In football Impossible is possible.
Nini hiki.
 
Back
Top Bottom