FT | Azam FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 09.05.2024

FT | Azam FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 09.05.2024

Hawezi kuchukua ubingwa.

Ubingwa ni wa Yanga.

Yanga kabakisha mechi nne.

Anahitaji ushindi wa mechi mbili tu anyanyue ndoo.

Kwa ubora wa Yanga na mechi zilizobaki sio rahisi kupoteza mechi zote.

Nafasi ya pili inagombaniwa kati ya Simba na Azam.

Mpaka sasa hakuna mwenye uhakika wa kuipata.
Pia anapaswa inapaswa kufahamika kuwa ushindi wa mechi mbili ni endapo leo Azam atashinda. Ila kama Azam atafungwa au kutoka sare, basi Yanga atahitaji ushindi wa point 3 au 4 tu kuwa bingwa wa ligi kuu.
 
Mtibwa 1 - 1 Yanga.
Dodoma Jiji 1 - 0 Yanga
Yanga 1 - 1 Tabora United
Yanga 0 - 0 Tanzania Prison.

Nisome kwa makini hapo Juu.
Imani yako inaweza kuamisha milima
 
Kama ni suluhu maanake Yanga atakuwa na 71
Simba akishinda mechi zake zilizobakia atakuwa na point 69
Azam akishinda mechi zake zote atakuwa na point 70. Je hapo bingwa ni nani?
 
Hawezi kuchukua ubingwa.

Ubingwa ni wa Yanga.

Yanga kabakisha mechi nne.

Anahitaji ushindi wa mechi mbili tu anyanyue ndoo.

Kwa ubora wa Yanga na mechi zilizobaki sio rahisi kupoteza mechi zote.

Nafasi ya pili inagombaniwa kati ya Simba na Azam.

Mpaka sasa hakuna mwenye uhakika wa kuipata.
Mtibwa 1 - 1 Yanga.
Dodoma Jiji 1 - 0 Yanga
Yanga 1 - 1 Tabora United
Yanga 0 - 1 Tanzania Prison. =70 points

Azam 1-2 Simba.

All other 4 games Azam win.= 69 Points.

All other 5 games Simba Win. = 71 Points. (Bingwaaaa)

In football Impossible is possible.
 
Mtibwa 1 - 1 Yanga.
Dodoma Jiji 1 - 0 Yanga
Yanga 1 - 1 Tabora United
Yanga 0 - 1 Tanzania Prison. =70 points

Azam 1-2 Simba.

All other 4 games Azam win.= 69 Points.

All other 5 games Simba Win. = 71 Points. (Bingwaaaa)

In football Impossible is possible.
Sometimes possible is impossible
 
Simba SC Squad
20240509_172245.jpg
 
Back
Top Bottom