mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Hahaa To Yeye Leo huli dinner 🤣🤣🤣Ivo yaan
Kagonga mwamba, Duchu kafungaMara Fred mara Duchu
Anyway cha msingi hizo goli zipo upande wetu
Mwambie huyondio maana aliwapga nyie vibonde wenzie
Yaani wakileta mambo Yao ya INTANESHENO KOCHI tutawakataa!!Mgunda apewe timu tu.
Azam nao midebwedo wanafungwaje na kolowizadi mxiewww!
Ila m mnyama 😅ndio maana aliwapga nyie vibonde wenzie
Si fred ni DuchuFred
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dawa ya kutuliza maumivu ninayo, nambie nikuletee kiasi gani.Mmepata timu ya kujipigia basi kelele mtaa mzima, subirini Yanga watakavyowakanda
Kipofu kaona mwezi hamna jipya kolowizadiKaribu mgeni....! Member
Mara tu ushaanza kufyonya.!
Fanya Fanya uzoee mazingira Kwanza.
Sikuchoka, nikampa mnyama over 1.5 second half, odd ilikuwa nono 🤣Umeliwa tayari
Leo simba at least tutafika kileleni na wenza wetu maana hamu ilikata kabisa🤨Hahaa To Yeye Leo huli dinner 🤣🤣🤣
Haswaaaaaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo hizi tatu utachachuka Sanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hongera mtani.