Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado game 2 tutangazeMngetangaza jana
Wakitoka sare leo Yanga atadaiwa points 2. So itakuwa bado mechi 1.Bado game 2 tutangaze
Hili ni tatizo.Simba down nimesikia faisal mnataka mumpe kiatu
Tatizo wachezaji wazawa karibia wote mioyoni mwao ni Simba na Yanga. Kwahiyo wapo wachezaji ndani ya Azam wanaoiombea Ushindi Simba na wapo wanaoiombea Mabaya. Hivyo lolote linaweza kutokea hata kusababisha penalty kwa makusudi.Azam pigeni hawa mbwa ili mjihakikishie nafasi ya pili
Nawaombea wapigwe tuWakitoka sare leo Yanga atadaiwa points 2. So itakuwa bado mechi 1.
Kimahesabu Azam anatakiwa kufungwa kama mnautaka Ubingwa.Nawaombea wapigwe tu
Mbona mnatanguliza mapema sababu za ushindi wetu wa leo?Tatizo wachezaji wazawa karibia wote mioyoni mwao ni Simba na Yanga. Kwahiyo wapo wachezaji ndani ya Azam wanaoiombea Ushindi Simba na wapo wanaoiombea Mabaya. Hivyo lolote linaweza kutokea hata kusababisha penalty kwa makusudi.
Pia Tff ya Karia haiwezi kukubali Simba ifungwe leo. Tutarajie maelekezo kwa waamuzi wa leo
Ndilo soka letu hili
Kuna timu imetangulia Manungu tayari.Bado game 2 tutangaze
Nyie leo hamtoboi hapoKimahesabu Azam anatakiwa kufungwa kama mnautaka Ubingwa.
I don't know how you Utos make ur calculations
You don't see Azam FC as threat.
Listen !! you may be surprised.
sorry for bad English.
#Simbaaaaa....Nguvu moya-In Fantino voice
Haha kama nyie mlimfunga sembuse sisi?Kuna timu imetangulia Manungu tayari.
Mtibwa inapambana kutoshuka daraja, na jana wameona game yenu vizuri.
+ Kikosi tangulizi, kule mtasuluhu au kupoteza.
Hakuna namna mtaifunga Mtibwa.
Ndio utahesabu game zilizobaki utabaini kuwa Ubingwa badoo
Leo tupo mubasharaIt may cost you somewhere.
sorry for my bad language