FT | Azam FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 09.05.2024

FT | Azam FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 09.05.2024

Namwombea mtani wangu Mbumbumbu
Ashinde game ya leo
Hao ndo wakubwa wenzetu wawe bora ili utani uzidi
Simba ikifa au ikiwa dhaifu sifurahi
Azam sipendi wawe wakubwa
Tutashinda bila kujali takwa lako
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kimahesabu Azam anatakiwa kufungwa kama mnautaka Ubingwa.

I don't know how you Utos make ur calculations
You don't see Azam FC as threat.
Listen !! you may be surprised.

sorry for bad English.

#Simbaaaaa....Nguvu moya-In Fantino voice
Ubingwa wa Yanga hauhitaji msaada kwa Azam wala kwa Simba bali ni kwa kushinda mechi zake jambo ambalo lina zaidi ya asilimia 90 kufanikiwa. Amebakiza mechi 4 amalize ligi. Na katika hizo mechi nne anatakiwa ashinde mechi mbili tu bila kuangalia mechi ya leo ya Azam vs Simba. Kama ikitokea sare au Azam kufungwa ni kama safari inakuwa inazidi kurahisishwa
 
Ubingwa wa Yanga hauhitaji msaada kwa Azam wala kwa Simba bali ni kwa kushinda mechi zake jambo ambalo lina zaidi ya asilimia 90 kufanikiwa. Amebakiza mechi 4 amalize ligi. Na katika hizo mechi nne anatakiwa ashinde mechi mbili tu bila kuangalia mechi ya leo ya Azam vs Simba. Kama ikitokea sare au Azam kufungwa ni kama safari inakuwa inazidi kurahisishwa
Kauli yako ya Mwisho inamaana.
Ila Yanga anaweza kusuluhu game zilizobaki na Azam akashinda zote.

Ubingwa watausikia vichochoroni.
 
Naskia harufu ya kubondwa leo
Nachoshukuru huku Mwanza hawajui kama mimi LUNYASI
Ntaenda bar kuangalia kimya kimya
 
Kuna timu imetangulia Manungu tayari.

Mtibwa inapambana kutoshuka daraja, na jana wameona game yenu vizuri.

+ Kikosi tangulizi, kule mtasuluhu au kupoteza.

Hakuna namna mtaifunga Mtibwa.

Ndio utahesabu game zilizobaki utabaini kuwa Ubingwa badoo
Wewe jamaa ni bichwa maji.
 
mhm!! hii mech ni ngumu..ila lazma azam walie2 kivyovyote vile....Simbaaaaa....Nguvu moja.. naitakia ushindi team yangu pendwa
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Unaweza kushangazwa!
Mkitoka Manungu J3 lazima muwe na lugha ingine hapa
Kwa idadi ya mechi zilizobaki hata kama tofauti ingekuwa point moja bado Yanga wangechukua ubingwa. Simba na Yanga unawajua unawasikia? Wana option nyingi mno za kuwapa ushindi
 
Kauli yako ya Mwisho inamaana.
Ila Yanga anaweza kusuluhu game zilizobaki na Azam akashinda zote.

Ubingwa watausikia vichochoroni.
Yanga tokea msimu uanze kasuluhu mechi ngapi mfululizo? Kwanini leo hii uamini kuwa itasuluhu mechi zote wakati ni jambo ambalo halijawah kutokea kwa Yanga? Sema unatamani itokee hivyo
 
Simba wanatamani Fei toto achukue kiatu amzidi Aziz. Sasa leo ndio siku nzuri ya kumsapoti Fei ili aweze kubeba kiatu cha ufungaji bora.
 
Naiona sare inashonwa tena pale Lupaso lakini tofauti ya sare ya leo ni kwamba inakuja na mtandio wake😀😀
 
Feiiiiiisaaaaal 🤣😁😁😁😁😁😁 Kila la kheri Azam fc
 
Back
Top Bottom