Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
Tuteseke kwa kipi sasaLakini bado mnateseka. Inferiority complex mbaya sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuteseke kwa kipi sasaLakini bado mnateseka. Inferiority complex mbaya sana.
Teseka taratibuu jamaniiii, kwan unaumia ukiwa wapiii?Hapo kesho Sasa anavyoyaona mbumbu fc km mazezeta utasikia "mbio za ubingwa ndio zimeanza rasmi". Na yenyewe oyeeeeee... Huku kisugu na mbichwa wake akisema uwanja wa Azam sio mzuri kwa mechi za Simba.
Ajabu iliyojeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2] bado tu mnaumia na ubingwa ni wenu.
Tulizana bas nawee, kwan lazimaa uoneshe umma kuwa unaumia na kuteseka?Yanga 7 nguruwe FC 2 2023/2024 season
Huyo Kibu ndio anatingisha kiberiti Bora wamwache alishajiona starHivi saido, kibu na wapuuzi wengine vipenzi vya benchika , hawaoni aibu wakiangalia ?
🤣 ulikuwa mafichoni au sioKwa sasa napumua kwa speed ya kobe kwa raha zangu....yani taraaatibuuu
Simba tamu nyieee
Eeh! Majukumu hayo ni pale timu ikienda kombo tu. Eeh.Majukumumu mama
Heheheee. LolUnalakusema Jirani??
Safi sana umekuja na ID nyingineModes wameamua kumpumzisha sio kwa vurugu yake ya jana.
Kabisa aiseeeeee.....Huyo Kibu ndio anatingisha kiberiti Bora wamwache alishajiona star
Umerudi kivingine.Modes wameamua kumpumzisha sio kwa vurugu yake ya jana.
Hii hesabu uliyopiga ni noma...Mzee Nimekuambia Ubingwa ni Wa Simba Ukabisha..
Simba anashinda Mechi zote zilizobaki anakuwa na Point 71..
Yanga anatoa draw na anafungwa pia anakuwa na Point 70..
Azam hata akishinda Zote anakuwa na Point 69...
Ubingwa wa Simba mzee