FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Hujui mpira ivi ukiangalia kuna mchezaji gani simba anapata number azam?Azam ni Mdebwedo sanaaa tusipo wafunga tumejitakia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui mpira ivi ukiangalia kuna mchezaji gani simba anapata number azam?Azam ni Mdebwedo sanaaa tusipo wafunga tumejitakia
Mimi azam sio Simba wabongo msikalili MaishaMnaelewa saana Shughuli Ya 'Chama' Ila basi tu mnakomaaga Vichwa kumfananisha na Domo..!
Upo sahihi. Mpira huu una kasi sana.Toa nyoni, kapama rudi namba ya Nyoni, ingiza akpan namba ya kapama, toa kyombo weka banda. Boli itembee...
Jipe moyo.Mnavuliwa boxer leoNajua mnaongea sana, ila nasikitika sana kwani huyo mnaemtumainia amekufa goli tatu kwa moja, kama unabisha nipo nimekaa pale!!
Tusubiri kipindi cha pili
Wachezaji wa Shafih Dauda hao. Kama homa za vipindi Leo hivi kesho vileHuyo Habibu mmempromote weee... cha ajabu anacheza fyongo!
Wapi tumesema takataka. Tunasema combination ya team sio mchezaji mmoja mmojaWakati mnawanunua kwa mbwembwe na kuwatambulisha simba day hamkujua ni takataka?
Na al hilal alikuvua tvs auJipe moyo.Mnavuliwa boxer leo
Rudini mazoezi basi tutacheza Siku nyingine kama hatuwapigi tuWapi tumesema takataka. Tunasema combination ya team sio mchezaji mmoja mmoja
Kuna thread niliiona Kiyombo is number one straiker in tz... WeweeeeeWachezaji wa Shafih Dauda hao. Kama homa za vipindi Leo hivi kesho vile
Hujui mpira ivi ukiangalia kuna mchezaji gani simba anapata number azam?
Basi ngoja tuoneMkishinda tatu mimi niiteni Ashura jumbe
Hakuna tofauti ya kocha moalim aliyekua azam na mgunda wa simba. Wote walianza vizuri lakini baada ya michezo mitano timu zao zilianza kucheza fyongo.Poor approach kutoka kwa Mgunda na Matola.
Kwanini asingeanza na back three na kulazimisha kucheza kwa Nyoni? Hakufanya tafiti kuhusu winga za Azam?
Chagua jina jingine!! Ashura jina la mke wangu!Mkishinda tatu mimi niiteni Ashura jumbe
Mkishinda sifa kwa Mgunda, ila mkifungwa lawama kwa Matola, acheni roho za kichawi.Matola anaiharibu Simba ninauhakika yeye ndio amefosi nyoni,kapama kuanza
Waongeze presha kwa Azam. Nado speed yao ipo chini. Wanaweza kushindaNajua mnaongea sana, ila nasikitika sana kwani huyo mnaemtumainia amekufa goli tatu kwa moja, kama unabisha nipo nimekaa pale!!
Tusubiri kipindi cha pili