Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Manyonyo fc wamelambishwa ball corne wakajisahau [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Period ya Mama yetu ndiyo ilikuleta duniani kenge wa bluu wewe, si uhame timu kwani imekuwa kabila[emoji848][emoji3526]Matola na Mgunda ni Wajinga
Period.
Oyaaa Kesho kuamka mwisho sangapi[emoji23][emoji23]Nimemsikia msemaji wa Azam wakati mpira unaisha akishangilia na kusema...Kum.. ake.
Paza sauti Gadiola feki afukuzwe kwenye timu makoloooo...[emoji16]huyu gadiola anatimuliwa si muda
Kapoteza pass 1 tuMwamba huyo hapo NDALA,hamna cha Chama wala Chauma kavuruga vuruga na kutibua mipango yote.
View attachment 2399735
Kheee sakho tena jmn[emoji23]Hii mechi kocha ameiuza hii.
Unamuachaje Sakho nje unaweka kapama?
Sijui watasingizia nn🤣Oyaaa Kesho kuamka mwisho sangapi[emoji23][emoji23]
Mliwaongeza mikataba wa nn bossUnatafuta kushinda unamuweka Boko? Unamuacha Nyoni? Baadae mje muwatulize mashabiki wawe wanakuja uwanjani
Hukutegemea kwa timu gani uliyonayo? Niambie mchezaji gani wa Simba anaweza kupata namba Azzam?Wanathiimba dah sijategemea aisee pole yetu ndo mpira
Muache kusema Azam ni Simba B msimu hatufungwi na team zisizo na viwanjaIki kiwango Cha Simba ndio kiwango Chao halisi. Leo wamepigiwa mpira maridadii.
Kweli kuna watu mnapelekwa na upepo. Sub ya Kwanza ya Azam alistahili Kipre.Mbinu za ki k zimeanza,kocha wa azam hizo hela ulizokula zitakutokea puani,unamtoaje kipre?mchezaj bora wa hii mech mpk dk hizi?