FT: Azam FC 1-0 Simba SC | NBC League, 28/10/2022

Unatafuta kushinda unamuweka Boko? Unamuacha Nyoni? Baadae mje muwatulize mashabiki wawe wanakuja uwanjani
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wana thiiiimbaaa!
 
Mbinu za ki k zimeanza,kocha wa azam hizo hela ulizokula zitakutokea puani,unamtoaje kipre?mchezaj bora wa hii mech mpk dk hizi?
Kweli kuna watu mnapelekwa na upepo. Sub ya Kwanza ya Azam alistahili Kipre.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…