FT: Azam FC 1-0 Simba SC | NBC League, 28/10/2022

Hivi huwa tuna midomo eee ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€
Sanaaaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mngepata kagoli hapa sahivi ingekua ni matarumbeta makelele utadhani mnaenda kuposa kwa mzaramo
 
Amechemka sana. Ila tumsamehe siku hazilingani
 
Jamani tuconcentrate na ushindi wa leo, tusihame mada wana Thimba..๐Ÿคฃ
 
Nayachukua maoni yako kama challenge kwasababu tushapoteza na kila mtu leo atavaa joho la kiuchambuzi kutoa kasoro yale aliyoyaona
 
Pamoja na hayo Simba ni timu kubwa africa yote
Hata man city alifungwa liverpool
Simba nguvu 1
 
#Fact ni hii mechi ya de agosto ndo ilificha ubovu wa simba nilitamani sana mgunda apewe mkataba kabla ya hii mechi ndio ungekuwa mkataba mfupi wa kocha kuwahi kutokea

Unbeaten is real, mafuta yamejitenga na Maji
Tulia hamna cha maji kujitenga na mafuta Yanga bado ni wabovu tuu msikilizeni mwenye akili sunday manara msishupaze shingo na hizo un beaten zenu mkakalie moto kwa waarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ