FT: Azam FC 1-0 Simba SC | NBC League, 28/10/2022

Tayari kumekucha! 😃
 
“Hatuzuiliki Hatushikiki We Are Unstoppable” [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pole sana rafiki. Ulale mapema, ili kupunguza munkari. Sasa amebakia Yanga peke yake ambaye ni unbeaten mpaka sasa.

Na safari ya ubingwa kwa mara ya pili mfululizo, ndiyo imeanza hivyo.
Sidhani mkuu ushindani bado ni mkubwa
 
Nimesikia mtangazaji kajisahau kasema afadhali wamepigwa wapuuzi hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…