Kipa wa azam bado unamdai?Wakati Ally Salim anadaka penati kipa wa Azam ye alikuwa bize kulamba ukwaju
Matokeo yake ndio haya
Wakiwaona Yanga fainali shirikisho wanasema wamecheza na team dhaifu, mbona wao hawajafunga hizo team dhaifu.Daaa!! Kwahyo Azam out? Hakuna team hapo Ngoja nimuweke kwenye blacklist ya team za mikeka yangu
Kule CAF huwezi kuruka nje ya mstari kabla penalty haijapigwa.Wakati Ally Salim anadaka penati kipa wa Azam ye alikuwa bize kulamba ukwaju
Matokeo yake ndio haya
Kweli na uzima AmenYesu Kristo ndiyo njia ndugu zangu
Kiukweli kafanya kazi kubwaKipa wa azam bado unamdai?
Ka save penalty 3 bado una shaka naye.?
Kwanini usiwatuhumu wachezaji..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale ni waajiriwa tuuWewe nae umejaa utopolo kichwani, kwa hiyo Bajana ni mwarabu?
Kaangalie kipa wa Wydad alivyokuwa anadakaKule CAF huwezi kuruka nje ya mstari kabla penalty haijapigwa.
πππKweli na uzima Amen
Penalty ni mchezo wa chance.Kiukweli kafanya kazi kubwa
Ila bado wapigaji walikuwa wanapiga soft sana
kabisa kaka timu inatia aibu sanaBora nafasi ya Azam wawe wanapewa wengine..
Hata wasipokuwa na timu ya maana. Ila wakiwa na spirit wanweza kutoboa.
Azam ni Aibu.
Ndio nani na njia ya kwenda wapiYesu Kristo ndiyo njia ndugu zangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yanga na nyie subirini zamu yenu kesho
Yohana 14:6Ndio nani na njia ya kwenda wapi