FT: Azam FC 2-1 Dar kenema (Agg. 3-3) Pnt (3-4), CAFCC, Chamazi complex, 25.08.2023, Azam waaga mashindano

FT: Azam FC 2-1 Dar kenema (Agg. 3-3) Pnt (3-4), CAFCC, Chamazi complex, 25.08.2023, Azam waaga mashindano

Nilikuambia mkuu jamaa niliwacheki game yao ya kwanza ,wako vzr ,mkawabeza
Azam na wenyewe wamecheza soft sana

Kipindi cha pili dakika 2 za mwanzo walicheza kitimu walihakikisha wapinzani hawapati utulivu wakiwa na mpira.

Azam wali press sana na kupora mipira mingi ila eneo la mwisho wamekuwa wakifanya makosa mengi ya wazi.

Iddris kuna muda alikuwa kwenye box na yupo kwenye nafasi nzuri ya kuweza kutengeneza nafasi ya kupata bao.

Lakini alivyoguswa kidogo ye akachagua kujiangusha ili apate penati.

Hivyo hivyo kwa Feisal hakuwa na utulivu au sijui niseme kwakua mpira ulitua kwenye mguu wake wa kushoto na yeye ni right footer ndio sababu iliyofanya apaishe mpira akiwa yeye na Kipa.

Ngoja tuone matuta
 
Bangala anafungulia kupiga penalti

Huyu rekodi yake ya mwisho aliwahi kupaisha kwenye mechi yenu na Marumo kama sikosei
 
Penati rahisi sana hii Bahir Dar wamepiga

Wanapata
 
Bahiri Dar wanakosa penati haoaykipa kacheza
 
Azam na wenyewe wamecheza soft sana

Kipindi cha pili dakika 2 za mwanzo walicheza kitimu walihakikisha wapinzani hawapati utulivu wakiwa na mpira.

Azam wali press sana na kupora mipira mingi ila eneo la mwisho wamekuwa wakifanya makosa mengi ya wazi.

Iddris kuna muda alikuwa kwenye box na yupo kwenye nafasi nzuri ya kuweza kutengeneza nafasi ya kupata bao.

Lakini alivyoguswa kidogo ye akachagua kujiangusha ili apate penati.

Hivyo hivyo kwa Feisal hakuwa na utulivu au sijui niseme kwakua mpira ulitua kwenye mguu wake wa kushoto na yeye ni right footer ndio sababu iliyofanya apaishe mpira akiwa yeye na Kipa.

Ngoja tuone matuta
Niilisema wasiwaruhusu kucheza mpira wao ,wakiruhusu hilo watapata tabu

Sasa unaiona tabu hiyo
 
Feisal anapiga

Wazee wa Yanga msiminye tulieni

Goooooooooooal
 
Azam wanapiga

Bajama anapiga

Kapaishaaaa
 
Bahiri Dar wanapiga oenati ya mwisho hapa

Kakosaaaaa
 
Back
Top Bottom