FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

Wanawasafishia njia masandawana
Watakuwa wamelipwa nini,hapa bado haja ingia Banyana,yule jamaa basi marefa wanamuachiaga ila kiukweli mechi nyingi za Yanga anatakiwa kumaliza na kadi nyekundu.
 
Jitu nimeanzisha Uzi afu haliweki updates
 
Mzize akitulia leo anaweza kupiga hata mawili mengine na Aziz anamwekea nyingi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…