Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
59' mzize anasinzia uwanjani...mpira unatoka nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kihasibu 🤣🤣🤣Au hasara ya aziz k
Dah nimecheka kimyakimya,, kwamba kichwa kimeiva kama papai🤣57' fei toto anachezewa faulo na mchezaji wa yanga...Gamondi kichwa kimeiva kama papai....haamini macho yake
Sasa kuna huyu mdogo wa Usain Bolt ukikaidi utapigwa2 hilo halijui.Mpira unamatokeo yake
Ni lazima iwe hivyo
Km hujui mpira kama wew ndio shida ilipo
u
Anaacha uzi wake kule ana hangaik na yangakihasibu 🤣🤣🤣
sahihiSema una roho ngumu
Au unaishi jirani na machinjio?
Nimenuna🥺Kibabage goli la pili linapitia kwake! Anaonekana ni beki wa kushambulia zaidi kuliko kukaba!
Yanga isiyo na Aucho+Pacome! Ni Yanga ya kawaida sana! Leo Azam wamejimilikisha kiungo! Fei Toto, Silla na Kipre Jr wako 🔥
I wish Okrah naye anheingia ili kuongeza mashambulizi. Hapa tukijitahidi ni sare. Guede!! 😱
Sasa kuna huyu mdogo wa Usain Bolt ukikaidi utapigwa2 hilo halijui.