Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Baileys Irish cream. Uko hapa kwani mikia wanacheza?Umegida wine ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baileys Irish cream. Uko hapa kwani mikia wanacheza?Umegida wine ipi?
Kila mtu ashinde mechi zake.Tulia kama unanyolewa, tunajua tunacheza na team mbili.
Azam hata asiposhinda au Yanga afungwe bado namba 1 itabaki kuwa uzushiKila mtu ashinde mechi zake.
Tunataka kujua leo ikiwa ni kweli...
1. Jezi nyeusi ina jambo
2. Kweli kuna bahasha za khaki
Azam wasiposhinda hii mechi ya leo hayo yote hapo juu ni ubatili.
Yaani leo maandishi yakiwa mengi, nayaona manne manne. Asubuhi nitasoma nitaelewa ulichomaanisha.Kila mtu ashinde mechi zake.
Tunataka kujua leo ikiwa ni kweli...
1. Jezi nyeusi ina jambo
2. Kweli kuna bahasha za khaki
Azam wasiposhinda hii mechi ya leo hayo yote hapo juu ni ubatili.
Unaongelea hatrick yenye penati 2?Ndugu unamaanisha Mbappe yule alopiga hatrick WC final 2022 Qatar?
Au una wenge la wanzuki
Yaani leo maandishi yakiwa mengi, nayaona manne manne. Asubuhi nitasoma nitaelewa ulichomaanisha.
Leo nani kavaa jezi black kwanza tuanzie hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umekosea kunywa hiyo wine, ubgeramba tu ukwaju wa bhakresa 😂😂Baileys Irish cream. Uko hapa kwani mikia wanacheza?
Wewe ni mikia eeh?yaani Hamsemi kama ni 2-2[emoji30][emoji30] Watu mna Wivu sanaa[emoji30]
Suala si mpira ni kugusa nyavu na kutengwa katikati ya dimba. Au ubingwa wa dunia kwa njia ya penati unauelezaje?Unaongelea hatrick yenye penati 2?
Cone tamu nilijua utasema ukwaju...Umekosea kunywa hiyo wine, ubgeramba tu ukwaju wa bhakresa 😂😂
Nipo hapa kushuhudia mnavyo rambiswa cone 😂😂
Aha kumbe ni zile penat 2 na goli 1Suala si mpira ni kugusa nyavu na kutengwa katikati ya dimba. Au ubingwa wa dunia kwa njia ya penati unauelezaje?
Oooh nilisahau na ukwaju pia 😂Cone tamu nilijua utasema ukwaju...
Mashabiki wa Messi mnanongwa sanaUnaongelea hatrick yenye penati 2?