utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Mkuu iyo nafasi tutaipata Kwa juhudi zetu na sio kwa kupewa kwani miaka sio mingi naiona Yanga inaenda kutawala soka la Afrikayanga anakupiga, mpira anamiliki na burudani anakupa
fifa watupe nafasi ya kombe la dunia la vilabu dunia ifurahie soka