data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Pyeeeepyeepyeee...๐๐๐Bado mawili maana huyu tunamjua huwa anapigaga hattrick
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pyeeeepyeepyeee...๐๐๐Bado mawili maana huyu tunamjua huwa anapigaga hattrick
Kabisa Mtani. ๐Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, Yanga wamepania iwe mvua liwe jua ni lazima kieleweke ๐๐คฃ๐
Ni wewe mkuu?Hii ndio fighting sasa, sio Simba ikipigwa goli 1 tu inapoteana mazima
Utasubiri sana.Hii inaweza kuwa sare tena
Mpaka sasa mpo vizuri.Hii mechi ili tushinde, tunatakiwa kuongeza viungo kama Sure Boy, Farid Musa, nk, ili na sisi tuweze kumiliki mpira pale katikati, kama wapinzani wetu.
Upande wa kulia nao umekuwa ni uchochoro! Moloko na Kibwana wanatakiwa kuongeza juhudi ya kukaba.
Alindwe na refa?refa anashindwa/kashindwa mlinda mayele hii si sawa
Hii mechi Azam hafungwiPyeeeepyeepyeee...๐๐๐
Ungekuwa uko jirani, ningekuja kukuchapa kibao na kukupongeza kwa kusema ukweli.Hii ndio fighting sasa, sio Simba ikipigwa goli 1 tu inapoteana mazima
Labda kwa Yanga nyingine,kwa ufupi Yanga anashinda,angalia mpira unavyopigwa na hao quality players,yaani ni entertaining,amazing and enjoyable football.Hii inaweza kuwa sare tena
Ashafungwa mbili au unamaanisha nini?Hii mechi Azam hafungwi
KashafungwaHii mechi Azam hafungwi
Nasubiria matokea mpaka mwisho. Azam huwa wanatukamia sana. Merry Christmas mrembo wangu...Bantu Lady wai yu donti raiti unatoa laikis tu. ๐ ๐
Nenda kwa Amani Nkuu, usiwaze tunaongoza 2Ndo naenda kibanda umiza, ngapi ngapi huko? Nasikia makelele tuView attachment 2458074
Atakuwa amezidiwa na utamu! ๐ฅฐBantu Lady wai yu donti raiti unatoa laikis tu. ๐ ๐