kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Hata akisema anabaki wamkatae hatumtaki tenaNo feisal No Problem. Teh teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata akisema anabaki wamkatae hatumtaki tenaNo feisal No Problem. Teh teh
Ooh! Haina shida My Dear. Ni kweli huwa wanakamia japo tumeshawaduwaza mpaka saa hii.Nasubiria matokea mpaka mwisho. Azam huwa wanatukamia sana. Merry Christmas mrembo wangu...
Kwa kweeli. 😅😅😅Atakuwa amezidiwa na utamu! 🥰
Mpira huu ndugu. Mpaka uisheLabda kwa Yanga nyingine,kwa ufupi Yanga anashinda,angalia mpira unavyopigwa na hao quality players,yaani ni entertaining,amazing and enjoyable football.
Kongole Yanga.
Mi siangalii mpilaAcha kutoa huruma hapa.. Yanga ndio Wana nafasi yakuongezea magoli zaidi.. we unaangalia mpila gani huo
Huwa hawasikii hawa[emoji23][emoji23][emoji23]Mdomo jamani mdomo mdomo narudia tena mdomo . [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ndio unafungwaHii mechi Azam hafungwi
Kabisaa. Waliopo wanatosha.Hata akisema anabaki wamkatae hatumtaki tena
Kabisa mkuu. Azam bado wanayo nafasi ya kupigwa tuAzam bado wana nafasi kwenye hii mechi
Yes mkuu tate, whatever happensFei toto ana heshima yake aisee! Hata kama ana madhaifu machache ya hapa na pale, kuhusu hiyo ishu yake ya mkataba.
Kipindi cha pili Azam wanarudi kifaransa.
Mpira huu ndugu. Mpaka uishe
Hahahaaa. Nimecheka sana yaani. Lol.Huwa hawasikii hawa[emoji23][emoji23][emoji23]
Na jamaa ndo wanapopitiaHii mechi ili tushinde, tunatakiwa kuongeza viungo kama Sure Boy, Farid Musa, nk, ili na sisi tuweze kumiliki mpira pale katikati, kama wapinzani wetu.
Upande wa kulia nao umekuwa ni uchochoro! Moloko na Kibwana wanatakiwa kuongeza juhudi ya kukaba.
Ndio ma shost zake na wale jamaa wa CosterYan Azam wenyewe ndio hawa weupe hivi?
Ya kitenge au khangaHii inaweza kuwa sare tena
Hahahaaa.. jamaa umenichekesha sanaWanaomlipaga Ftoto m4.