Appollo 11
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 245
- 648
Huyu Kipa ndio Zaka alituambia anadaka hata akiwa kafunikwa gunia usoni?Azam Watafute Kipa Mwingine
nimecheka hapo kwenye ile mishuti yakeAziz K kapiga ile mishuti yake kipa akatema ikamaliziwa.
sio kwa yanga pale hata wakae na manura kwa mashuti ya mbukinabe wanatoa kapaHuyu Kipa ndio Zaka alituambia anadaka hata akiwa kafunikwa gunia usoni?
Aziz ni mchezaji mzuri.nimecheka hapo kwenye ile mishuti yake
manura alitaka kata moto
Tutawaazima Stephano Azizi Kii kwa muda.Azam kama Simba tu, hawana mpiga faulo labda antibiotic
74' Sospeter Bajana wa Azam anapata kasi ya njano kwa kucheza vibaya
77' Farid Musa anafunga goli la tatu kwa Yanga, ni baada ya kipa wa Yanga kutema shuti la Azizi Ki
Hamna shaka.Sisi ndio machampions of all time[emoji169][emoji172][emoji169]
Unaangalia mechi gani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uto wamelalalaaaaaa
πππππFarid Mussa
[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji172][emoji169]Sisi ndio machampions of all time[emoji169][emoji172][emoji169]