kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Yule ni msaliti aende tuNo hastahili iyo heshima. Alipaswa kuufata uongozi Kisha kuwaambia Azam wapo tayari kunilipa hivi je ninyi mpo tayari au niende zangu? Yeye amefanya Siri akachukua mpunga wa Azam Kisha kaenda kulipia mkataba yake.
Hivi hamjui chama alifanya nini alipotoka berkane? Yanga ndio walikuwa wa kwanza kumfata na dau lau ila akautaarifu uongozi wa Simba ili nao uone atakachoenda kulipwa Yanga wafanye kitu..
Acheni kutetea wasaliti
Feisali mnamtaka badooo??Ukiona uzi tena kuhusu feitoto niite Dejan
Atacheza number ngapi?Wapiii Feisal bado mnamtaka?
Kwenye kusifia hapo tutaheshimu uhuru wako wa kutoa maoni mkuuBado nausifia mpira wa Azam ni bora zaidi
MSemaji wenu Ashura cheupe kasema bado ni YangaAtacheza number ngapi?
Ndo hapo tushangae wote. π€£π€£π€£Si walisema Yusuph Bakhressa ana hela ya kufanya chochote!! Alishindwa vipi kuinunua hii mechi?
Yaaah nchi huru hii mkuu π π π hata kama unajua hujuiKwenye kusifia hapo tutaheshimu uhuru wako wa kutoa maoni mkuu
Umeona mkuu, Tena alitaka kutuumiza kisaikolojia, kasubili paka siku Moja kabla ya mechi muhimu ndio analeta tafraniYule ni msaliti aende tu
π π πUkiona uzi tena kuhusu feitoto niite Dejan
Hatunaaa tunetepetaaa wenyewe. Kumbe hata jezi ya rangi isiyo nyeusi nyie mnaumiza tu....! Bye bye Fei Toto akwendeeeNauliza wasemaji wa Azam mna lolote? [emoji1787] [emoji1787]
Aende tuFei Toto anatakiwa ajitafakari. Kama anataka fedha, aende huko Azam. Ila kama anataka fedha na furaha; basi abakie tu nyumbani.
Basi atakuwa ni GENTAMYCINEHuyo alimfananisha Mayele na Kibu.
Just imagine.
Mabush Lawyers. π€£Mnaacha kufikiria game yenu na KMC ,majipa kazi zisizo wahusu za kujifanya wachambuzi wa vipengele vya mikataba.
Kesho na KMC ambao taifa waliatoa pump goli mmechomoa dk ya 90+ na nazani uwanja wa Kirumba mnaujua hostoria yake kwa upande wenu.