FT: Azam FC 2-3 Yanga | Ligi Kuu | Uwanja wa Mkapa / 25.12.2022

FT: Azam FC 2-3 Yanga | Ligi Kuu | Uwanja wa Mkapa / 25.12.2022

No hastahili iyo heshima. Alipaswa kuufata uongozi Kisha kuwaambia Azam wapo tayari kunilipa hivi je ninyi mpo tayari au niende zangu? Yeye amefanya Siri akachukua mpunga wa Azam Kisha kaenda kulipia mkataba yake.

Hivi hamjui chama alifanya nini alipotoka berkane? Yanga ndio walikuwa wa kwanza kumfata na dau lau ila akautaarifu uongozi wa Simba ili nao uone atakachoenda kulipwa Yanga wafanye kitu..

Acheni kutetea wasaliti
Yule ni msaliti aende tu
 
Kafungwa Azam ila wenye maumivu ni makolo ngada fc
 

Attachments

  • Screenshot_20221225-221600_Instagram.jpg
    Screenshot_20221225-221600_Instagram.jpg
    74.5 KB · Views: 3
Yani kwa kelele hizo za bao la tatuu...nilikua hapa na mashem zangu ni Yanga damu wanabishana hao ni Azam wameongeza mm nikawapa moyo nikawaambia ni Yanga hao kwa kelele hz wanaaamini hata bila Feisal wanatoboa hizo kelele ni za kuizomea Simba wakasema hapana ni Azam yani walikua wamekata tamaa kila mmoja maana hatukua ndani muda huo..kumbe washabiki wa Yanga walikua wanahoma na hii mechi sasa ndo sherehe imeanza...
 
Mnaacha kufikiria game yenu na KMC ,majipa kazi zisizo wahusu za kujifanya wachambuzi wa vipengele vya mikataba.

Kesho na KMC ambao taifa waliatoa pumu goli mmechomoa dk ya 90+ na nazani uwanja wa Kirumba mnaujua hostoria yake kwa upande wenu.
 
Mnaacha kufikiria game yenu na KMC ,majipa kazi zisizo wahusu za kujifanya wachambuzi wa vipengele vya mikataba.

Kesho na KMC ambao taifa waliatoa pump goli mmechomoa dk ya 90+ na nazani uwanja wa Kirumba mnaujua hostoria yake kwa upande wenu.
Mabush Lawyers. 🤣

Hadi ukikaa unajiuliza wamesomea lini sheria hawa. 😅
 
Back
Top Bottom