permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]azam hii mechi walikuwa wanaitangaza kwenye mitandao kwa mbwembwe nkajua hata wata draw kumbe mafi matupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]azam hii mechi walikuwa wanaitangaza kwenye mitandao kwa mbwembwe nkajua hata wata draw kumbe mafi matupu
Uto leo mnabatuliwa na wauza ukwaju
Hili statement imekaa kishabiki na Sinaga ushabiki wa aina hii boss.Kila msimu mnaimarisha tu timu yenu!! 😃
Nyie mlishindwa kuponea chupuchupu?KWa mpira huu wa Azam Yanga wameponea chupuchupu
Tumeponea chupuchupu na points 3. Nyie huwa mnaponea na points 0.KWa mpira huu wa Azam Yanga wameponea chupuchupu
Bado una ndoto za kubeba ubingwa?Ushindi mwingine mwembamba.
Pole sana mkuuGoli la kizembe kabisaView attachment 2458129
OKW BOBAN SUNZUKuna mtu akasema kwa Aziz Ki tumepata hasara.
Yani huko aliko sijui anajiskiaje?
Merry Christmas to youKWa mpira huu wa Azam Yanga wameponea chupuchupu
The same to you mtani...hongereni kwa mbiiiiindeeeeMerry Christmas to you
SawaBado nausifia mpira wa Azam ni bora zaidi
Ni kweli ndio maana makolokwinyo walifungwaBado nausifia mpira wa Azam ni bora zaidi