Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
...[emoji1732][emoji23]umepoa ule
kamuulize kipa wa waarabu kama ukidunda unapoa
kwa azizi ukidunda unakuwa na nguvu mara 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...[emoji1732][emoji23]umepoa ule
kamuulize kipa wa waarabu kama ukidunda unapoa
kwa azizi ukidunda unakuwa na nguvu mara 2
Hongerenii mlale sasafatilia uzi tangu dk ya 1 tupo hadi marudio tunasubiri saa 6 na kesho tuone kama azam anaweza chomoa goli
Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Mikia/Ngada FC wanasema ndiyo kwaaanza wameuwasha moto wa kumfukuza Yanga FC na Mayele kupitia KING KIBU DENNIS na JOHN BOKO [emoji87]Makolo Kimyaaaaaaaaa!! Jana walikuwa na Azam na Fei wao.
Wanawekeaga magoliKumbee hivi hz bahasha wanawekaga nini?
Endelea kusimamaNasimama na Azam
Basi gawaneniWanawekeaga magoli
Nyie ndo mnagawana ila sisi Yanga tunazichukua halali yetuBasi gawaneni
Uchawii huu kakaNasimama na Azam
Sasa kama ni halali hiz habari za bahasha zinakukera nini?.mm kwanza sinaga hizo mambo za kusema bahasha..kama ni magoli gawaneni kama ni hela gawaneni pia.Nyie ndo mnagawana ila sisi Yanga tunazichukua halali yetu
Hizo habar za bahasha muulize kolo mwenzio ScarsSasa kama ni halali hiz habari za bahasha zinakukera nini?.mm kwanza sinaga hizo mambo za kusema bahasha..kama ni magoli gawaneni kama ni hela gawaneni pia.
Mtani umenichoka kweli.🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dera tena.... sawa tunashangilia ushindi bado.Bantu Lady nakuona nakuona mtani ndani ya dera la njano umedamshi
Hilo ndo zuri unajiachia tuu 😀 😀 😀Mtani umenichoka kweli.🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dera tena.... sawa tunashangilia ushindi bado.
Aliyeponea chupuchupu kashinda? [emoji23]KWa mpira huu wa Azam Yanga wameponea chupuchupu
Nisaidie kucheka yaniiiAliyeponea chupuchupu kashinda? [emoji23]
Ww ndo umezianza sasa nimuulizeje kolo mwenzangu? Hebu acha utopolo wako
Unbeaten run huwa ina ukomo wake, na pengine ingeangukia hata kwa Azam au Simba FC sababu "hakuna marefu yasiyo na ncha"Ila ihefu ni wanaume aisee sijui waliwezaje