Rais atoe tu milioni 5 maana magoli yanafanana kabisa.Nami nitaka niseme hivyo
Goli la Mudathiri
Youtube internet nayo ina scratch mno hawa ZUKU nao leo wamezinguzHatupo kideoni jamani ndo twajirudisha home so tunafatilia humu...
Ni kama tupo tuu kideoni
Asingekuwepo Simba isingeshindaNa tulishinda
Si wamtoe atavunjwa tena mguu..Dah Phiri!