Sema yupo sahihi kwa game plan za viwanja hivi vya mikoani, italeta matunda muda sio mrefuKocha hana nia ya kucontrol midfield na kutengeneza chances kwa movements na through balls.
Gameplan yake ni kubutua mbele na kutegemea Bocco na Kagere watafanya miujiza
Katoka nani?Hizi sub hizi
Katoka nani?Hizi sub hizi
Kwanini? Na ni mchezaji gani?Kuna mchezaji wa mikia anamwambia kocha huna akili wewe.
Hassan Dilunga katoka Pascal Wawa naye alitakiwa atoke ila akawa kama haelewiKatoka nani?
Kaingia nani?
WaliotokaKatoka nani?
Kaingia nani?
Yaah sub ya beki mmoja ilikuwa lazima ifanyike coz inapunguza idadi ya kushambulia goliniHassan Dilunga katoka Pascal Wawa naye alitakiwa atoke ila akawa kama haelewi
kama saido wa utopoloni alivyofanya?Kuna mchezaji wa mikia anamwambia kocha huna akili wewe.
Inonga wakati anatoka amemfanyia kocha kale ka ishara ka kutokuwa na akili.Kwanini? Na ni mchezaji gani?
Tulia basi simba mateBiriani halichagui uwanja kama wapishi unao
Hii inaitwa full scale attackWaliotoka
Bwala
Kspombe
Dilunga
Inonga
Walioingia
Duccan nyoni
Banda
Mihilu
Tshabalala
Ilibidi atoke ili waingie wale wachezaji ambao ni attack mindedInonga wakati anatoka amemfanyia kocha kale ka ishara ka kutokuwa na akili.