Kumbe jamaa nae anae, nikajua ni empty setAzizi akileta watoto wake jumla watakua na watoto 4 na wao wakizaa katoto kamoja jumla watoto 5.
Kwanini ajute ?Labda wangekuwepo wangemuokoa dakika za jioni. Huyu dogo atajutia sana huu wakati
Hii issue ni serious bro, Yanga hawana uchungu kama wazazi wanaleta ushabiki wa kipuuzi tu
Nyie shadadieni tu mwenzenu yatamkutaAzizi akileta watoto wake jumla watakua na watoto 4 na wao wakizaa katoto kamoja jumla watoto 5.
Azizi akileta watoto wake jumla watakua na watoto 4 na wao wakizaa katoto kamoja jumla watoto 5.
Mkuu Kumbuka kwanza wana haki ya kikatiba ya kuwa huru, Kisha wana haki ya kuchagua na kuamua yupi wampendae.Angekuwa ndio mdogo wangu kafanya ujinga huu ndio nauita ujinga ungempa sapoti??
Huyo demu ni kunguru kafata helaKwanini ajute ?
Mbona wewe umeoa single maza na hatusemi?Nyie shadadieni tu mwenzenu yatamkuta
Azizi akileta watoto wake jumla watakua na watoto 4 na wao wakizaa katoto kamoja jumla watoto 5.
Anae wa kwanza binti wa pili wa kiume hata miezi 6 hana kazaa na mtanzania anaitwa Vanessa kasheraKumbe jamaa nae anae, nikajua ni empty set
Ndio kwanza wazazi wananilazimisha, labda nikuoe weweMbona wewe umeoa single maza na hatusemi?
Inawezekana aiseeHuyu kijana karogwa sio bure
vipi mechi ya kesho atacheza au atakuwa fungate?Yaan Mechi ya Kesho ni Wazazi wa Aziz Ki VS Singida Big stars
Hayo maswali nadhani majibu anayo mwenyewe mkuu mpaka akafikia kufanya maamuzi haya magum namna hii alishawaza nje ya box hesabu zikatikiHivi huyu mshua atastaafu kucheza soka akiwa na yanga ya tanzania au atamalizia kucheza soka kwingine? Je kama atarudi kwao, ataenda na mkewe huyu? Vipi kama klabu ya yanga itamuuza kwa timu nyingine ya nje si itabidi aende kuishi huko na mkewe? Au ameishakuwa mtanzania hataondoka kurudi kwao burkina faso?
Kwahy ngoma Draw ,wote. 2-2Anae wa kwanza binti wa pili wa kiume hata miezi 6 hana kazaa na mtanzania anaitwa Vanessa kashera
vipi mechi ya kesho atacheza au atakuwa fungate?
Wewe ulivyo mchoyo! Muha wa watu kuwanunulia chakula ndugu zake kwa hela yako ulifungua mpaka uzi.Ndio kwanza wazazi wananilazimisha, labda nikuoe wewe