FT: Burkina faso 0: 2 Tanzania

Hivi huyu mshua atastaafu kucheza soka akiwa na yanga ya tanzania au atamalizia kucheza soka kwingine? Je kama atarudi kwao, ataenda na mkewe huyu? Vipi kama klabu ya yanga itamuuza kwa timu nyingine ya nje si itabidi aende kuishi huko na mkewe? Au ameishakuwa mtanzania hataondoka kurudi kwao burkina faso?
 
Hayo maswali nadhani majibu anayo mwenyewe mkuu mpaka akafikia kufanya maamuzi haya magum namna hii alishawaza nje ya box hesabu zikatiki
 
Hayo maswali nadhani majibu anayo mwenyewe mkuu mpaka akafikia kufanya maamuzi haya magum namna hii alishawaza nje ya box hesabu zikatiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…